SIMBA YAUSHINDA MFUPA MGUMU WA JKT

..................

NA MUSSA KHALID

Timu ya Simba SC imeendelea kujitika kileleni mwa msimamo wa Ligi kuu Tanzania Bara baada ya kuifunga timu ya JKT Tanzanzia kwa jumla ya goli moja kwa sifuri (1-0).

Katika mchezo huo ambao ulikuwa na ugumu kwa kila pande kutokubali nyavu zake kutikishwa alilazimu mpaka dkk za nyongeza ambazo zikaifanya Simba kupata mkwaju wa Penati iliyofungwa na mchezaji wake Jean Ahoua.

Hata hivyo matokeo hayo yanaifanya timu ya Simba kufikisha alama 37 baada ya kucheza michezo 14 huku timu ya JKT ikisaliwa na alama 19 baada ya kucheza michezo 15.

Post a Comment

Mpya zaidi Nzee zaidi